DOGO JANJA AANGUSHA MBUYU NGARENARO, ASHINDA UDIWANI KWA KUMGARAGAZA VIBAYA DIWANI MKONGWE ALIYEKUWA AKITETEA NAFASI YAKE.

 DOGO JANJA ASHINDA UDIWANI NGARENARO AMGARAGAZA VIBAYA DIWANI MKONGWE ALIYEKUWA AKITETEA NAFASI YAKE

By Arushadigital 

MSANII wa Mziki wa Kizazi Kipya, ABDUL AZIZ CHANDE (Dogo Janja)ameibuka mshindi wa Udiwani kata ya Ngarenaro kupitia CCM kwa kupata kura 76 na Kuangusha mbuyu Diwani Mkongwe na Mtetezi wa Kata hiyo, ISAYA DOITA aliyeambulia kura 60.

Dogo Janja ameaminiwa na wajumbe wa kata hiyo ya Ngarenaro wakiwa na matumaini naye hasa baada ya kuipaisha kwa kuipa umaarufu kata hiyo kupitia nyimbo zake.


MSANII wa Mziki wa Kizazi Kipya, ABDUL AZIZ CHANDE (Dogo Janja)ameibuka mshindi wa Udiwani kata ya Ngarenaro kupitia CCM kwa kupata kura 76 na Kuangusha mbuyu Diwani Mkongwe na Mtetezi wa Kata hiyo, ISAYA DOITA aliyeambulia kura 60 ,Dogo Janja ameaminiwa na wajumbe wa kata ya Ngarenaro wakiwa nanimamni naye hasa baada ya kuipa umaarufu kata hiyo kuporia nyimbo zake.

Post a Comment

0 Comments