MGOMBEA UBUNGE ARUSHA AGEUKA CHAWA WA MGOMBEA ,ASHINDWA KUOMBA KURA KWA WAJUMBE!

By Arushadigital

Mgombea ubunge jimbo la Arusha mjini ,(Jina linahifadhiwa) ameweka kando harakati  za kusaka ubunge katika jimbo hilo badala yake amegeuka Chawa wa kunadi wagombea wenzake waliokuwa wakijinadi katika mbalimbali za jimbo hilo, jambo lilaloelezwa ni kufilisika kisiasa .


Mgombea huyo ambaye aliwahi kuwa kiongozi wa ccm wilaya ,ni miongoni mwa wagombea saba walioteuliwa kuwania nafasi hiyo kupitia chama Cha Mapinduzi lakini ghafla mgombea huyo  amegeuka Mpambe wa kuwasifia wenzake huku akijiita yeye ni kaka yao.

Mmoja ya wagombea wenzake(Jina linafichwa) ameonesha wazi kukerwa na kitendo hicho huku akisema  kwamba huenda hata fomu aliyochukua ilikuwa ni  mkakati na hakutia fedha zake mwenyewe kupitia Fomu kutokana na udhaifu aliouonesha .

"Ifike wakati chama kiache kuleta watu kwa ajili ya kusindikiza wengine bali wachague watu wenye nia sahihi ya kuwatumikia wananchi na sio wanaoenda kuziba nafasi za wengine bora angeamus kujitoa  ijulikane moja kuliko anavyofanya inaonekana hatupo serious"Alisema 

Wagombea wanaowania jimbo hilo ni pamoja na;


Post a Comment

0 Comments