SAMIA AMTUMBUA KIHAMIA DART NI SIKU MOJA BAADA YA WANANCHI KUSHAMBULIA MABASI KWA MAWE,AFANYA UTEUZI.

 



Kihamia katika ubora wake
         
         Pius Ng'ingo

Rais Samia Suluhu amemteua Pius Andrew Ng'ingo kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Mabasi Yaendayo Haraka (UDART) akichukua nafasi ya Waziri Kindamba ambaye uteuzi wake umetenguliwa.

Post a Comment

0 Comments