Na Joseph Ngilisho-ARUMERU
KADA wa Chama Cha Mapinzuzi CCM na mjasiriamali mwenye taaluma ya uhasibu, CPA Ester Mollel, amejitokeza kuchukua fomu ya kuomba ridhaa ya kuteuliwa kuwania nafasi ya Ubunge wa Jimbo la Arumeru Magharibi, katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 2025.
Ester anakuwa mwanamke wa kwanza kuchukua fomu ya kugombea ubunge wa jimbo katika Mkoa wa Arusha akiunga mkono kauli ya Rais Samia Suluhu ya kuwataka wanawake wasiogope kugombea majimbo ya uchaguzi, tofauti na wanawake wengi wanaoomba kwenye viti maalumu.
Ends..
0 Comments