KATIBU MWENEZI CCM ARUSHA KUUNGURUMA KESHO NA VYOMBO VYA HABARI ,ATASHUSHA MKEKA WA MADIWANI WATEULE !.


By Joseph Ngilisho-Arushadigital


Katibu Mwenezi wa CCM Mkoa wa Arusha,Saipulan Ramsey Kesho Saa Nne Asubuhi Agosti 15,2025 Makao Makuu ya CCM, ataongea na Vyombo Vyote vya Habari Mkoa wa Arusha.


Agenda kuu  ni Pamoja na kutoa Mkeka wa Madiwani walioteuliwa na Chama Cha Mapinduzi kugombea nafasi hiyo.

Ends..

Post a Comment

0 Comments