M-NEC ARUSHA HUYU HAPA, TAZAMA TOP THREE YA NGILISHO .


J

Utafiti uliofanywa na chombo cha Habari makini cha NGILISHO TV  kwa kuwahoji  wanachama wa ccm na baadhi ya wajumbe kutoka wilaya zote sita za mkoa wa Arusha wameeleza kuwa  wagombea wafuatao lazima MNEC apatikane.


1.HUSSEIN GONGA 
2 NAMELOCK SOKOINE  
3 Dkt DANIEL PALANGYO 




Post a Comment

0 Comments